Gumnzo la kitaanii

Sunday, 27 September 2015

SIMBA HOI YANGA WAWEKA HESHIMA

04:31 By Unknown No comments

Yanga ya ibuka kidedea dhidi ya mahasimu wao wakubwa Simba ambo  wamekua wakitamba kwa kuwafunga mara kwa mara pindi wakutanapo jana tarehe 26 mwezi wa 9 jumamosi katika uwanja wa
Taifa  YANGA alifanikiwa kumchapa SIMBA mabao 2 wakati simba wakishindwa kuonyesha makali
yao wakiambulia patupu
Bao la kwanza lilifungwa na Amiisi Tambwe katika dakika ya 44 kipind cha kwanza na kupelekea ushundi
ulioenda kutimia wakati wa kipindi cha pili baada ya mchezaji Mallimu Bussungu mnamo dakika ya 79 Simba walishindwa kuchomoa mabao hayo mpaka dakika ya mwisho ya mchezo na kukubali kuwapa Yanga ushindi wao


             VIDEO YA MASHABIKI WAKISHANGILIA KWA MBWEMBWE ZOTEE KABLA MECHI HAIJA ANZA

0 comments:

Post a Comment